KANISA ANGLIKANA TANZANIA DAYOSISI YA VICTORIA NYANZA

  • Home
  • About Us
  • News Updates
  • Events
  • Contact Us
  • Login Panel
    • Staff Login
    • Admin Login
  1. Home
  2. Ugavi na Manunuzi

Idara ya Ugavu na Manunuzi


Gevosta Kyando
Mkuu wa Idara ya Ugavi na Manunuzi

Utangulizi

Idara ya manunuzi ni Idara maalum inayosimamia manunuzi na uuzaji wa mali za Dayosisi kulingana na utaratibu wa wa Idara ya fedha.

DIRA

Kuleta ufanisi na kutoa huduma kwenye Nyanja za mununuzi,utunzaji na usambazaji wa bidhaa na huduma mbalimbali zinazohitajika kwa ajili ya Dayosisi.

DHAMIRA

Kufuatilia na kuhakikisha michakato ya ununuzi na taratibu zake zinafuatwa kwa mujibu wa sheria ya ununuzi.

LENGO

Kutoa utaalam na huduma za Ununuzi na Ugavi.

MAJUKUMU YA KITENGO CHA MAUNUNZI

1. Kusimamia majukumu yote ya manunuzi.

2. Kushauri manunuzi ya Dayosisi.

3. Kuandaa orodha ya mahitaji ya Idara na vitengo.

4. Kuratibu manunuzi na uuzaji mali za Dayosisi.
5. Kufuatilia na kuhakikisha michakato ya ununuzi na taratibu zake zinafuatwa kwa mujibu wa sheria.

Quick Links


  • Nyumbani
  • Isamilo International school
  • Kuhusu Sisi
  • Matukio Yote
  • Habari Mpya
  • Wasiliana Nasi
  • Build Project
  • Chuo cha Biblia Nyakato


Idara Mbalimbali

  • Idara ya Uhasibu
  • Ugavi na Manunuzi
  • Uinjilisti
  • Elimu
  • Vijana(TAYO)
  • Wanawake(UMAKI)
  • Watoto(SUNDAY SCHOOL)

Mawasiliano Zaidi

+255-759797219
+255-756435471
victorianyanza@yahoo.com

©Dayosisi ya Victoria Nyanza. Haki zote Zimehifadhiwa||Designed and Developed by DVN TAYO Ilemela 2025